Timu ya Yanga sc hii leo imeibuka na ushindi wa magoli 3 bili

Timu ya Yanga sc hii leo imeibuka na ushindi wa magoli 3 bili

Clab ya fc barcelona hapo jana iliitisha kikao cha dharula na hatimae kimemalizika kwa baadhi ya viongozi wa clab hiyo kujiudhuru na baadhi wameonesha awana imani na rais wa timu bwana Josep Bartomeu

Huku sakata la nyota lion messi likizidi kufukuta baada ya kutaka kusitisha mkataba wake natimu zimeanza kufutilia saini yake zikiwemo
Arsenal
Inter millan
Man united
Man city
Psg

Mpaka kufikia sasa ina onesha hame choka kukaa hapa na akuna jipya tulilo buni kwa ajili ya klab ila tunapaswa kuwa wavumilivu mkurugezi mmoja ikiwa ana hojiwa gazeti la Spy news.
Kuelekea wiki ya mwananchi klabu ya Yanga imetangaza itakipiga na Aigle Noir ya Burundi ila awali ilipanga kucheza timu kubwa za barani Afrika ama sevilla ya Spain.

Baadhi ya wasanii leo wamelipoti ofisi ya klabu kuashilia ushiliki wao katika siku ya Mwananchu na huku Msanii nguli Harmonize akiwa tayari kaachi Ngoma ya Yanga

Pia Yanga sc imetangaza kuanza kuuza Jenzi zake ambazo zitapatika kwenye Shop zote za GSM

Kupata Nyimbo ya
Hatimae bayern munich kawa bingwa wa champion league kwa mwaka 2019/2020 Baada kutoa vipigo vikali kwa timu kubwa kama Fc Barcelona .Licha PSG kupoteza mechi hiyo ila wanajutia nafasi za wazi ambazo wamekosa mnamo mwa dakika30 za kipindi cha kwanza na dakika 45 za kipindi cha pili .

Buyern walikua wapo vizuri zaadi safu ya kiongu na ushambuliaji ila kama kawaida mkuta wao ungeweza kurusu magoli mengi zaiidi kama washambuliji wa PSG wangetulia

Kwa habari picha zaiidi bonyeza➡http://raboninco.com/1sjvA
Dfl cup
Bundesliga
Uefa Champion
