Categories
Uncategorized

Barca kimenuka

Clab ya fc barcelona hapo jana iliitisha kikao cha dharula na hatimae kimemalizika kwa baadhi ya viongozi wa clab hiyo kujiudhuru na baadhi wameonesha awana imani na rais wa timu bwana Josep Bartomeu

Huku sakata la nyota lion messi likizidi kufukuta baada ya kutaka kusitisha mkataba wake natimu zimeanza kufutilia saini yake zikiwemo

Arsenal

Inter millan

Man united

Man city

Psg

Mpaka kufikia sasa ina onesha hame choka kukaa hapa na akuna jipya tulilo buni kwa ajili ya klab ila tunapaswa kuwa wavumilivu mkurugezi mmoja ikiwa ana hojiwa gazeti la Spy news.

Mudhaq said's avatar

By Mudhaq said

Leave a comment

Design a site like this with WordPress.com
Get started